Mkaa Safi Kutoka Taka za misitu na mazao

Haina Moshi. Inadumu. Nafuu.

Miaka ya Uzoefu wa Kazi
0 +
title-image
Huhusu Sisi

Nishati ya Kupikia kwa Dunia Inayobadilika

EcoPower Solutions Ltd ni kampuni ya nishati safi inayomilikiwa na Watanzania, yenye dhamira ya kufanya nishati salama ya kupikia ipatikane na iwe nafuu kwa kila mtu. Tunajikita katika utengenezaji wa mkaa wa biomasi na majiko bora kwa matumizi ya nyumbani, wauzaji wadogo, shule, migahawa, na taasisi.

Dhamira Yetu

Kubadilisha Nishati ya kupikia yenye madhara na gharama kubwa kwa suluhisho endelevu linalo okoa pesa, kulinda mazingira, na kuboresha afya ya jamii kote Tanzania.

Maono Yetu

Nishati safi kwa kila nyumba ya Kitanzania. Hakuna moshi. Hakuna ukataji miti. Hakuna taka.

1200+

1200+

Miti huokolewa kila mwaka

15+

15+

Ajira zimeundwa

3000+

3000+

Familia zimehudumiwa

60%

60%

Magonjwa ya kupumua yamepungua

Tunachofanya

Kubadilisha Taka

za misitu/mazao → Mkaa safi

Kuchoma Bora

Hudumu mara 3. Moshi pungua kwa 70%.

Kuokoa Misitu

Miti 100 huokolewa kila mwezi.

Kuza Nishati Safi Pamoja

Kwanini uchague mkaa wa Makange?

Ushahidi

Hakuna moshi tena jikoni kwangu

Mama Fatuma
Kinondoni

Nimepunguza gharama za mafuta kwa nusu

Juma's Restaurant
Salasala

Uwasilishaji wa kila mwezi bila kukosa.

St. Mary’s School
Mbagala

Tanzania inachagua: “kwa maisha bora''